Advertise Here

Advertise Here

Fans Advise To harmonize After Another Failed Relationship

 

Fans have reacted to singer Harmonize's yet another failed relationship. The singer recently confirmed that he has broken up with his lover Poshy Queen.

He said he needed to explain things to his fans as he had put the relationship in public.

“On God siwezi Kukificha Nilicho Kiweka Public!! Ukimya Wangu Unachagizwa Na Kuhofia Kauli Yoyote ikaibua Mitazamo Mbali Mbali !!! heshima yangu kwa famila yake ni kubwa saaana hatuko pamoja for good na ifike mahala tunatakiwa kufahamu kila linalotokewa limepangwa na Mungu,”

“Kama sio waumini sana basi tusikilize hata maneno ya wahenga chahuyu hakiwezi kuwa cha Yule. Mwisho kabisa!!! naomba nisihusishwe kimahusiano na yeyote ! kwa sasa !!! i need time to take care of me !!! kujifunza zaidi nijue wapi nakosea nini niongeze!!!! a one more week kuelekea @tanzaniamusicaward mwaka jana tumetisha sanaa tunastahili kila kombe hakikisha mnaipigia kura single again,”

Fans took to Harmonize's Instagram page to advise him on relationship matters.

Check out fans' reactions;

Idris Sultan: Jinsi wanavyokutesa ndo jinsi tunapata hit songs, wakutese mpaka ulazwe watu tupate vitu. It’s too early for you to folilo

Thuma Saed: Love yourself more take your time and once you do you will realize being alone is more powerful than priotizing people who will hurt you. Love yourself it starts either way you. I repeat take your time to heal before rushing to another relationship or else you will always end up hurt

Wanje bayaz: Tafuta mnaigeria Sasa

Ruge official Kids: Mimi nawewe hatuna bahati kila mwaka tunaachika na miezi sawa dah kaka njoo nikupe mbinu mpya nilioipata

Hathlley: Wakutese hivyo hivyo tuendelee kupata HIT songs

Lynne: We don’t really understand u.. one minute u want to just be single the next minute u can’t take being single kheeee,  mwanaume huna maamuzi

Dr Ridhiwan: Unalindwa na Board guards wanashindwaje Kumlinda Mchumba Hadi unakuwa SINGLE

Iam Missanima: Sending you plenty Hugs and Love... only if I could be noticed

Rizcarey otienos: wachana na socialite this time tafuta tu kasichana kanyumbani ushago na ukafiche

Jumaramadhan: Oyaaa kuna maisha baada ya muziki broo fanya mpango ishii na mwanamke moja na mupate watoto 

by QUEEN SEREM

No comments

Translate